Thursday, October 20, 2016

Ratiba ya AFCON 2017 NCHINI GABON

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetoa
makundi ya timu zitakazoshiriki michuano ya
AFCON 2017 nchini Gabon, kwa upande wa
wakilishi wa ukanda wa Afrika Mashariki Uganda
The Cranes wamepangwa Kundi D lenye timu za
Ghana, Mali na Misri.
Timu ya taifa ya Ivory Coast itapambana na
kocha wake wa zamani Herve Renard baada ya
kupangiwa katika kundi moja na Morocco katika
michuano ya fainali za kombe la mataifa ya
Afrika.
Michuano hiyo ya AFCON 2017 itaanza rasmi
January 14 2017 na kumalizika February 5 2017
nchini Gabon.

No comments:

Post a Comment