Tuesday, October 18, 2016

Mbunge wa Makete akanusha tuhuma za utumishi hewa

Mbunge wa Makete mh Norman Sigalla amekanusha taarifa za kupokea mshahara wa ukuu wa wilaya huku akisema hakuna hela ya mshahara ulio ingia kwenye account yake.

Akizungumza kwa njia ya simu mh Norman Sigalla amesema mpaka sasa hakuna mshahara ulio ingia kwenye account yake toka alipo sitaafu ukuu wa wilaya na hujui mpaka sasa kilichotokea

No comments:

Post a Comment