Ni jambo la kusikitisha ni mwez wa kumi sasa Barabara ya KENJA_IKUWO_ CHIMALA iliharibika sana na mvua zilizonyesha mwaka huu lakin hakuna jitihada zinazochukuliwa kufanya marekebisho ya barabara hii wakati Wilaya inapokea mapato kutoka barabara hii.Cjua kama mwaka huu wakaz wa bonde hili la IKUWO kama watasafirisha mazao yao.
Ujumbe mfikishien taarifa KING kua mambo huku c mazur atoe itikadi za VYAMA
No comments:
Post a Comment