Muonekana wa majengo ya chuo cha veta Makete
Wazazi
na wanafunzi wilayani Makete wameaswa kuwapeleka watoto wao walio
hitimu elimu mbalimbali ikwemo sekondari katika chuo cha ufundi veta cha
wilayani hapa
akizungumza
na mtandao huu kaimu mkuuwa chuo hicho Methew Komba amsema kuwa
kumekuwa na muitikio mdogo kwa wakazi wa wilaya hii katika kuwapeleka
watoto wao kujiunga na chuo hicho kilichopo wilayani hapa
bwana
Komba amesema kuwa wengi wa watoto hao wamekua wakitoka nje ya wilaya
hiyo kwa mpaka sasa kuna zaidi ya wanafinzi 97 walio chukua fomu za
kujiunga na chuo hicho kinacho tarajia kuanza muda wowote huku wengi wao
wakitoka nje ya wilaya " mpaka sasa tumepokea wanafunzi 97 wangi wao
wakitoka nje ya wilaya ya Makete mpaka sasa tunatalajia kuanza masomo
muda wowote huku tukianza na fani tatu amabazo ni Uwash,ushoni,na
uselemala na baadae sana tutakuwa na fani zingine " alisema Komba



No comments:
Post a Comment