Thursday, March 21, 2013

NAFASI YA MASOMO CHUO CHA UANDISH NA UTANGAZAJI



 
DAR ES SALAAM                        P.O. Box 90489 DAR ES SALAAM
CITY COLLEGE                              TEL:         +255  022 – 2420419
MOBILE: +255  714 – 689807           
           E-mail: daccollege2000@yahoo.com

                        (PROVIDING OPPORTUNITIES WORLDWIDE)
 


DAR ES SALAAM CITY COLLEGE (DACICO)
TAASISI YA UANDISHI WA HABARI NA UTAWALA
Kinatangaza  nafasi za masomo katika ngazi ya Cheti na Diploma kwa wahitimu wa kidato cha nne na sita kwa kampus zake zilizopo Dar es salaam na Mbeya, Katika kozi zifuatazo:-
-Journalism and MassComm (uandishi wa habari na mawasiliano ya umma).
-Human Resource management(Usimamizi rasilimali watu)
-Public Relatins (Mahusiano ua Umma)
-Internatinal Relations&Diplomacy (Mahusiano ya kimataifa)
-Business Administration (Uongozi wa biashara)
-Radio &TV Broadcasting (Utangazaji wa radio na TV)
-Community Development ( Maendeleo ya jamii)
-Procurement & Supply management (Mnunuzi)
-Secretarial courses (kozi za usekretari)
-Accountancy (uhasibu)
-Record Management (usimamizi wa kumbukumbu)
Chuo kina usajili wa kudumu toka NACTE, na kina zaidi ya miaka kumi, wahi nafasi ni chache, muhula mpya utaanza tar.1/4/2013. Fomu za kujiunga ni Tsh.10,000.
Kwa kupata form na mawasiliano piga:-     0655452335/0763452335  kwa wakazi wa MKOA WA NJOMBE  muone riziki Manfred au bonzumaAU FIKA REDIO KITULO MAKETE
Pia unaweza kupata form kupitia rizikimgaya blog w

6 comments:

  1. nawezakujiunga kwangazi ya chet ktk mass comm &jornarism

    ReplyDelete
  2. km nikiwa nina ufahuru wa c-kiawahili d-english na d-geography naweza kusoma ngazi ya cheti ktk mass commoncation & jonarism

    ReplyDelete
  3. Nina c1 na d2 nawezakujiung na chuo

    ReplyDelete
  4. Nina pass ya d moja na e mwaka 2014 naweza kujiunga na chuo chenu?

    ReplyDelete
  5. Nina pass ya d moja na e mwaka 2014 naweza kujiunga na chuo chenu?

    ReplyDelete
  6. mimi nina B-English,C-Kiswahili na B-ya historia naweza kujiunga

    ReplyDelete