Wednesday, November 7, 2012

HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA SIMBA KINESI LEO, MILOVAN WE ACHA TU!



Kocha Msaidizi wa Simba, Mganda Hamatre Richard (mwenye kofia) akiwapa mawaidha wachezaji wa timu hiyo kabla ya mazoezi kwenye Uwanja wa Kinesi, Urafiki, Dar es Salaam. 

Kocha Mkuu wa Simba, Mserbia Milovan Cirkovick akivuta sigara yake wakati Hamatre anazungumza na wachezaji 

Milovan akitafakari mambo

Milovan akiwa katika dimbwi la mawazo

Milovan akipoza koo kwa maji ya Uhai

Milovan akipiga hesabu zake

Hapa ameingia uwanjani anahesabu hatua kwa ajili ya kupanga koni 

Kocha wa makipa James Kisaka akiwa katika dimbwi la mawazo

Hapa wachezaji wameanza mazoezi

Kiggi Makassy kulia akifurahia na Paschal Ochieng kushoto

Baadhi ya wachezaji wa Simba wakijiandaa kuingia uwanjani

Kiggi Makassy akijiandaa kuingia uwanjani

No comments:

Post a Comment