Saturday, October 27, 2012

SIMBA YAIFANYI KUFUL AZAM TAIFA

SIMBA NA AZAM FC KATIKA PICHA

Mwadini Ali akiruka bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Felix Sunzu na kuipatia Simba bao la kusawazisha katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1.  
Kocha wa Azam, Boris Bunjak na Msaidizi wake, Kali Ongala wakishuhudia kipigo
Azam wakipiga ndiki kabla ya mechi
Nahodha wa Simba, Juma Kaseja akisali kabla ya mechi

No comments:

Post a Comment