Chama cha mapinduzi wilaya ya Makete kimeendelea
kujihimalisha kuhakikisha wanateea kiti cha udiwani kata ya Luhumbu wilayani
hapo baada ya kufunga akmpen hii leo
Mtandao huu
umeshuhudia baadhi ya vingozo wa chama hicho waakiwemo Naibu waziri Maji Mh binlith
Mahenge ambaye pia ni mbuge wa wilaya wengine ni Mwenyekiti Katibu wa chama hicho pomoja na baadhi ya
madiwani walikuwepo kwenye msafara huo
Uongozi wa chama
hicho umefanya mkutano wa kufunga kampen hizi katika kijiji cha Usililo katika
kata hiyo akihutubia wakazi wa maeneo hayo Mh mahenge amesema wananchi
wasidanganyike na vyama vingine badala yake wamchague Enok Ngailo kupitia ccm
nakuongeza kuwa tayari chama hicho kimesha waletea barabara pamoja na maji
katika kijiji hicho pamoja na miradi
mingine iliyopo katika hatua ya utekelezaji .
Naye katibu wa chama
hicho bwana Milaji mtaturu (jembe)amesema kuwa chama hicho kimeshaanza
utekelezaji wa ilani ya chama hicho za
mwaka 2010hadi 2015 hivyo ni vema wakaipa ccm ili iweze kumalizia utekelezaji
wa irani hiyo na kueleza jinsi wa Tanzania wengi wanavyo angamia
kwakukosa maarifa
Uchaguzi huu
nafanyika baada ya kifo cha aliyekuwa wa kata hiyo bwana Sanga na uchaguzu huo
utafanyika kesho jumapili
Katika hatua
nyingine msimamizi wa uchaguzi huo Bwana Kapinga amesema kuwa uchaguzi
unatarajia kufanyika kesho huko luhumbu
na tayari vifaa vya uchaguzi wamepokea na tayari suala la ulinzi na
usalama hapo kesho upo sawia na amewataka wananchi kutofanya vitendo vyovyote
vya uvunjifu wa amani badala yake wafuate kanuni na sheria za uchaguzi
No comments:
Post a Comment