Na Kenneth Ngelesi, MBEYA
SERIKALI nchini imewataka
wakurugenzi wote wa Halamashauri ambao watakuwa
wasimamizi wakuu wa masuala ya usajili
wa vizazi na vifo nchini kuhakikisha
kuwa,usajili unafanyika kwa asilimia mia moja
kwenye halmashauri zao.
Kauli hiyo imetolewa juzi na Naibu waziri wa Katiba na
Sheria Angela Kairuki katika Mkutano wa uzinduzi wa mpango mpya wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa kutoka
ofisi ya Mkuu wa wilayani, na kuwa chini ya Mkurugenzi wa Hamashari uliofanyika
katika uwanja wa shule ya msingi Ruanda Nzovwe jiji ni Mbeya.
Kairuki ambaye alkuwa mgeni Rasmi kwa niaba ya Waziri Mkuu
Mizengo Pinda alisema kuwa ni vema wakuregenzi hao wakawa makini katika mfumo
huo mpya, ambao serikari imelenga kuwa
punguzia usumbufu wananchi kwani hivi
sasa vyeti hivyo vitakuwa vikitolewa
katika ngzi ya kata huku maafisa watendaji wa kati wakipewa jukumu hilo.
Akiwahutumia mamaia ya wananchi walio hudhuiria uzinduzi huo ulioandaliwa na wakakala wa vizazi na
vifo RITA Kairuki alisema kuwa kwa mujibu wa sheria, usajili wa vizazi na
vifo unafanyika kwa wale waliozalia Tanzania bara na kwamba ni wajibu kwa
watewndaji wote wanao husika na usajili kuzingatia matakwa ya sheria.
Alisema kuwa Serikali uimechukkua jukumu vyeti hivyoo
vtatolewa kwa watoto wenye kuanzia mwaka 0-5 ni burte na kwamba vyeti hivyom
vitatolewa bure, na kuwa taka wananchi wasikubali kununua vyeti hivyo endepo
patatokea watendaji wachache wasio waaminifu wanao taka kugeuza mradi zoezi
hilo.
Mbali na wito huo Waziri Kairuki alisema kuwa ni vema wazazi
wenye watoto chini ya umri wa miaka hiyo
wakajitokeza kwa wingi katika zoezi hilo kwani kujianadikisha na kujua
idadi ya watu unakuwa msaada mkubwa kwa serikali kuweza kutoa huduma katika maeneop husika
kulingana na idadi kamili katika maeneo
husika hasa pale inapoi taka kutoa huduma za kijamii katika elimu, afya na miundombinu.
Aidha Kairuki alizitaka ofisi za watendaji kata na serikali
kufanya uahamsishaji katika maeneo yao
kupitia mikutano ya wananchi sambamba na kuweka utaratibu wa kufanya uahikiki
wa kila baada miezi mitatu kama kila mototo katika eneo lake amesha pata huduma
hiyo.
Aidha katika taarifa ya Rita Mwenekiti wa bodi ya RITA
Vicent Mrisho katika taarifa yake kwa mgeni rasmi alisema kuwa kwa mujibu wa
takwimu za nchi ni asilimia 14 tu ya
watoto wenye chini ya umri wa miaka mitano wamesajiliwa na kati yao ni asalimia
7.7 ndiyo wenye vyeti vya kuzaliwa.
Alisema kutokana takwimu hizo kutoridhisha na kwa kutambua umuhimu wa
usajili wa kumbukumbu muhumu za Vizazi mwaka 2011 RITA kwa kushirikina na wadau
wa mbalimbali ilibini mkakati wa usajili wa watoto wa umri wa chini ya miaka
hiyo ulilenga kuboresha hali ya usajIli nchini na kuweka kipaumbele kwa watoito
wenye chinya miaka mitano.
Katika uzinduzi huo
ambao ulihudhiwa pia na wakurugenzi kutoka JHalamashauri za Mkoa wa Mbeya na wakuu
wa wilaya na wabunge wa jimbo la Mbeya ,na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aliwataka wananchi kujihitokeza kwa wingi katika
zoezi zima kwani maendeleo yeyote dunia yantegemea sana kujua idadi ya watu na
kwamba suala hilo siyo la kisiasa bali ni la kimaendelo hivyo wanachi wa Mbeya
na wilaya zingine hawana budi kuisapoti serikali katika kutekleza azma hiyo.
Uandikishwaji na utoaji wa vyeti vya kuazaliwa unatajiwa
kuanza kutolewa Mkoani hapa Juni 25 katika wilaya za Momba, Mbozi,Mbeya jiji na kwamba mara
baada kamalizika itafuta mikoa ya Mwanza, Shimiwi,Shinyanga, na Getita na
kwamba a mpango huo unafadhiliwa na serikali ya Tanzania kuishirikiana na
shirika la watoto dunia Unicef,na kampuni ya simu za Mkononi ya Tigo.
mwisho
No comments:
Post a Comment