Friday, October 28, 2016

watakao sababisha ajari kukiona

Na Riziki Manfred makambako

Mkuu wa Mkoa wa njombe Rehema Nchimbi
amewataka madereva kufuata sheria barabarani
na kutoendeswa na askari wa usalama
barabarani
Akihutubia wakazi wa mji wa makambako Katika
maadhimisho ya kilele cha wiki ya usalama
barabarani ambayo kimkoa yamefanyika katika
mji wa makambako Nchimbi amesema
kumekuwa na tabia ya madereva kuonyeshana
alama za kujulisha mahara askari wa usalama
barabarani wamesema hivyo kuendelea
kuongeza ajari za barabarani ambazo zinaweza
kupungua au kuisha kabisa "najua madereva
wengi wanawaogopa askari wa usalama
barabarani hivyo wanafuta alama za barabarani
eneo ambalo Kuna askari wa usalama
barabarani nje ya hapo hawafuati hivyo kufanya
imani ya ajali kuongeza
Awali akisoma Risala Mkuu wa usalama
barabarani Mkoa wa njombe Kelvin Ndimbo
amesema kuwa ajali za barabarani zimepungua
katika mkoa wa njombe japo kwa mwaka 2016
kwa asilia 20 huku akizitaja sababu kubwa
kuwa ni elevi wa kulindukia mwendo kasi ubovu
wa vyombo vya usafiri na barabara
pia Ndimbo amesema jeshi la polisi kupitia
askari wa usalama barabarani wamejipanga
kuhakikisha wanaendelea kusimamia sheria kwa
kuwachukulia hatua kali madereva
wanaosabisha ajari
Katika maadhimisho hayo yaliyohudhuliwa na
wanafunzi wa shule mbalimbali ambao
wameuomba uongozi wa TANLODS Mkoa
kuwawekea alama za pundamilia (zebra crros)
katika eneo la barabara kuu ya Makambako
Songea eneo la ghorofa la Japipo

No comments:

Post a Comment