Saturday, December 22, 2012

MTOTO WA AJABU AZALIWA HUKO MBEYA

 
Mwanamke  anayeitwa Emeliana  Wilson (17) amejifungua mtoto wa ajabu hivi karibuni katika hospitali ya Ifisi Mbeya kama navyoonekana katika picha.Watu waliyomuona mtoto huyo aliyezaliwa akiwa na macho yaliyoungana, kitu kama pembe katika paji la uso wake na kutokuwa na pua alisema yawezekana kuna mambo ya kishirikina.

No comments:

Post a Comment