Monday, November 19, 2012

TAARIFA KUHUSU UGOMVI WA JAY Z NA MWIGIZAJI ROBERT DE NIRO.

Inasemekana siku chache zilizo pita Mwigizaji Mkubwa na Mkongwe Duniani Robert De Niro alitaka kufanya mazungumzo na Rapper Jayz kuhusu kazi tofauti alizo taka kufanya nae mjini New York. Robert alimpigia simu Jay z mara sita na kumuachia ujumbe akipata nafasi ampigie simu. Jay z hakufanya hivyo mpaka walivyo kuja kukutana juzi kwenye moja ya party kubwa New York na  Ndio hapo Robert alipo mbwatukia Jay z mbele za watu kuhusu kukosa nidhamu na kujifanya yeye ndio yeye au mjanja sana kuliko wakubwa zake . Jay z na Mke wake Beyonce walijaribu  kumtuliza Robert kwani alikuwa akutumia sauti ya juu sana lakini ilishindikana. Jay z alijiskia aibu sana na kumuomba msamaha Robert hapo hapo. 

     

 Robert De Niro                                                     JAY Z                               
        
 











Baadhi ya watu maarufu waliokuwepo kwenye party hio walisema kama kuna star New York anaye weza kumzingua Jay z ni Robert na Nas.
 
                                                        

No comments:

Post a Comment