Friday, November 2, 2012

KIJIJI CHA MALEUTSI CHA OKOA AFYA ZA AKINA MAMA WAJAWAZITO


















Wananchi wa Maleutsi wilayani Makete wataanza kupata huduma za afya kijijini hapa baada ya jingo la zahanati ya kijiji hicho kunza kukamilika na kuanza kutumika ifikapo march mwakani
   Akiongea na mtandao huu mtendaji wa kijiji hicho bwana Micheal Sanga amesema amesema ujenzi wa jingo hilo ulianza September 2009 ambapo mpaka sasa jengo hilo limepingwa lipu wanasubiriupakaji wa rangi nje ya jingo hilo
    Bwana sanga ameuleza mtandao huu kuwa mpaka jengo hilo mpaka kukamilika litaghalimu zaidi ya pesa tasilimu million kumi  nne ikiwa nguvu za nanchi ikiwa ni zaidi ya shilingi milioni sita
      Wangonjwa wamekua wakipata shida sana ya matibbu kwa muda mrefu wamelazimika kufuata huduma hiyo Ikonda na makete mijini zaidi ya kilomita kumi na tano kwa machela jambo ambalo limekuwa likipoteza maisha mengi husani wakina mama wajawazito
    Hata hivyo bwana sanga  amesema kuwa mganga mkuu wa wilaya hiyo aliwaahidi kuwafungia mililango katika zahanati hiyo na sasa wamejipanga kuanza ujenzi wa nyumba ya muuguzi .

     NA FURAHISHA NUNDU

No comments:

Post a Comment