Friday, March 15, 2013

MWENDESHA PIKIPIKI AGONGWA NA GARI ZANZIBAR


DSC06980Kijana Muhidini Ali Ame akiwa amelazwa katika Hospitali kuu ya Mnazi mmoja  akiwa ameumia sehemu za Kichwa,mkono na baadhi ya sehemu za mwili baada kupata ajali ya Kugongana na Gari aina ya Toyota ya Nungwi akiwa amepanda Vespa katika Barabara ya Amani daraja Bovu Zanzibar.
 PICHA ZOTE NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANIBAR.\

No comments:

Post a Comment