Tuesday, March 12, 2013

ALIYE MUUA MWALIMU MAKETE AFIKISHWA MAHAKAMANI


Tunaomba Radhi kwa picha za kutisha 

Mtuhumiwa wa mauaji ya mwalimu Sote Kawamba jana alifikishwa mahakama katika mahakama ya ya wilaya makete kwatuhuma za kumuua mwalimu wa shule ya sekondari kitulo aliye uwawa tarehe 27 mwezi  februar mwaka huu katika benki ya NMB tawi la Makete .

   Mtuhumiwa huyo wa mauaji ya mwalimu huyo pc   joseph msukuma       janaalifikishwa katika mahakama ya wilaya ya wilaya ya Makete kwajili ya kuandikisha shitaka lake linalo mkabili la mauaji ya mwalimu wa shule ya sekondari ya kitulo katika benki ya NMB Makete baada ya mtuhumiwa kuambiwa kwanini  hakuvaa herment na baadae kuuwawa kinyama kwa kumpiga risasi kifuani ..

  Muuaji huyo alifikishwa mahakamani hapo akiwa chini ya ulinzi huku kukiwa na usili mkubwa kuhusiana na tukio hilo mtandao huo ulifika eneo hili kwajili ya kupata habari lakini baada ya wanahari kuingia katika ofisi ya mwendesha mashitaka ndipo asikari waliweza kumfikisha kizimbani mtuhumiwa hivyo kukosa hata picha yake ..

  Asikari polisi waliofika mahakani hapo walikuwa wapatao 6 kwajili ya ulinzi wa muuaji huyo ambaye kwasasa yupo katika gereza la Ndulamo kama mahabusu akisubili maamuzi ya mahakama siku itakapo fika 

   Kesi hiyo itasomwa tena tarehe 22 mwezi huu katika mahaka ya wilaya Makete huku taadhali kwa vyombo vya habari ikiwa juu kutoka na polisi katika sehemu nyingi nchini kukiuka sheria katika mahakama  hususani kwa kesi ya inayo wahusu polisi kama ilivyo kwa wanahabari wa mkoani Iringa wakati wanapo fika mahakamani kujua muendelezo wa kesi ya mwandishi wa habari  wa chanel ten mkoani Iringa marehemu Daud Mwangosi
   
  

No comments:

Post a Comment