Monday, May 18, 2015

NAFASI ZA UALIMU NAUTANGAZAJI 2015

Chuo cha Daystar kimeanza kupokea wanafunzi kwa muhula mpya ulikaoanza may  5, 2015.

  • Kozi zitolewazo:
  •    Utangazaji wa radio na televisheni kwa ngazi ya advance certificate na Diploma
  •      Information Technology (IT)
  •      Marketing
  •     Computer
  •     Video shooting & production
  •      Teaching (Ualimu wa shule za msingi ngazi ya diploma)
  •      Public Reration.
  •  
Sifa za muombaji:
  1.    Awe na elimu isiyopungua kidato cha nne na kuendelea
   2 Awe na D kuanzia 3 na kundelea
                  Sifa  za chuo 
  • Ina hostel kwa wasichana na wavulana
  • Chuo kimesajiliwa na NACTE kwa no REG/BTP/003
  • Ada ninafuu na unalipa kwa awamu
  • Inawalimu wa kutosha
  • Na inastudio ya kisasa kwa uandishi na utangazaji


Chuo kinapatikana  majengo ya nane nane jijini Mbeya katika jengo la Taso

Wasiliana nasi kwa simu namba: 0656814960
:au 
kwa whatapp kupitia no 0763452335


WAHI SASA NAFASI NI CHACHE!!!!!!!!!



No comments:

Post a Comment