WSAFIRISHAJI MAKETE WAASWA
Wito umetolewa
kwa wamiliki wa vyombo vya usafili kufuata taratibu zilizo wekwa na Sumatra ili kuondoa migogoro inayo tokea
baina ya wamiliki wa vyombo vya
usafiri katika barabara za makete mbeya
na njombe makete.
Hayo yamesemwa na mkuu wa kituo chapolisi sp peter kaiza huku akikemea baadhi
ya wamiliki wa vyombo vya usafili wa abilia katika njia hizo kupitia malalamiko
yaliyotolewa na baadhi ya
wamiliki wa kampuni ya japaniis na mwafrica waliopewa kibali cha kusafirisha abilia katika barabara
ya makete-mbeya na makete -njombe
No comments:
Post a Comment