kucheleweshwa kwa malipo ya ya fedha kwa makampuni na mawakala wadogo wanaosambaza pembejeo wilayani makete vivyo kufanya mawakala na makampuni kushidwa kujipanga katika miaka ijayo
wakitoa kero zao mbele ya mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya vocha za ruzuku wilaya ya Makete mawakala hao wakiwa na makampu yao wameoneshwa kusikitishwa sana na serikali kuchelewesha malipo ya pembejeo ambazo tayari wamezisambaza
miongoni mwa wamakamapuni yaliotoa malalamiko yao mipamoja na ni YARA wasambazaji wa mbolea za kukuzia ,Hilands sead grouth wasamabazaji wa mbegu za mahindi tropical sead wasamabazaji wa mbengu na tas wasambazaji wa mbolea za minjingu
kwaupandea wake meneja wa Hilands sead amesema kuwa mpaka sasa wamesha sambaza zaidi ya tani 8 kwa mikoa ya nyanda za juu kusini pekee bila hata malipo hivyo kufanya kampuni kuteteleka na kushidwa kujipanahga kwa mika inayofuata
katika hatua nyingine mkuu wa wilaya Mh Josephine Matiro amewataka kujenga maghara na maduka wilayani ya makete ili kurahizisha upatikanaji wa pembejeo kwa wakulima pia kurahizisha usafilishaji kutoka Makete mjini na kupeleka vijiji .
aidha mkuu huyo wa wilaya ya Makete aliwataka maafisa ugani kudhibiti uchakachuaji wa pembejeo ikiwemo kubadilisha pengu pam hivyoja na mbolea nao kujipanga katika ukaguzi pia
No comments:
Post a Comment