Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi wa Kuwait
nchini Mhe Yacoub Y. Alsanad kabla ya ya kupokea hati zake za
utambulisho na kisha kufanya naye mazungumzo leo April 25, Ikulu jijini
Dar es salam. Kushoto ni Bw Abdul Rahman Al-Hashim, Meneja wa Mfuko wa
Maendeleo wa Kuwait aliyeongozana na Balozi huyo
|
No comments:
Post a Comment