Monday, February 18, 2013

VIONGOZI WA DINI MAKETE WATOA TAMKO KUHUSU MAUAJI YA PADRE

Siku chache baada ya mauaji ya padri Everisti  Mushi wa porokia ya minara miwili huko Zanzibar baadhi ya viongozi wa dini wilayani makete wamekemea na kulaan baadhi ya vikundi vinavyojihusisha na vurugu na mauaji  ya viongozi wa dini yanayoendelea hapa Nchini .

Wakizungumza na mtandao huu kwa  nyakati tofauti viongozi hao akiwemo padri wa kanisa katoliki makete Bw Alexander Mlelwa amesema serikali inachelewa kuchukua hatua pindi matukio yanapotokea ndio maana mauaji yanaendelea kufanyika .

Kwa  upande wake kiongozi wa dini ya kiislamu wilayani makete Shekhe Anuari Sanga  waumini wa dini zote wawe na uvumilivu



       
 

   Paroko wa parokia ya MAKETE mjini

Sherkh mkuu wa msikiti wa Makete mjini  sherkh Shekhe Anuari 



Na hadija sanga Mwalongo,Mpiluka,Idawa

No comments:

Post a Comment