Tuesday, February 19, 2013

HALI MBAYA BARABARA ZA MITAA MAKETE VIFUSI HAVIJASAMBAZWA WIKI SASA














Wananchi wilayani makete wamelalamikia kucheleweshwa kwa ukarabati wa barabara za mitaa unaondelea na kusababisha adha kwa watumiaji wa barabara hizo .

Wakizungumza na Kitulo fm baadhi wa wananchi hao wamesema kuwa vifusi toka vimewekwa ni wiki sasa havijasambazwa hadi sasa

 Aidha wananchi hao wamelalamikia  tabia za baadhi ya wakandarasi wanaotengeneza barabara kutoweka  vibao vya alama za kuonyesha matengenezo hasa katika maeneo yanayopita vyombo vya moto




No comments:

Post a Comment