Monday, February 11, 2013

CHRIS BROWN KAPATA AJALI


Wikiendi hii iliyopita msanii Chris Brown alikuwa katika hali sio nzuri ambapo alipata ajali na gari yake ya aina ya PORSCHE .Tukio hilo lilitokea alivyokuwa anawakwepa PAPARAZZI na kukimbilia kwenye gari lake ndipo alipoanza kuondoka ndo akagonga gari ambalo lilikuwa mbele yake.

No comments:

Post a Comment