Monday, November 19, 2012

MADEREVA WA BODABODA MAKETE WATAKA CHAMA CHAO


Umoja wa waendesha pikipiki wilayani makete waamua kuunda chombo kitakachokuwa kikitetea haki zao baada ya kuibuka kwa wimbi la waendesha pikipiki wilayani hapa
   Wakizungumza na mtandao huu madereva hao wamesema kuwa wamefikia harua hiyo baada ya kuona kuna dalili za ukiukwaji wa haki za madereva ha hasa miaka ya hivi karibuni baada ya kuibuka kwa wimbi la pikipiki nyingi maarufu kama bodaboda hivyo watu pamoja na serikali wamekuwa na mitazamo tofauti juu ya hivyo wamelazimika kufanya usajili huo
   Pendekezo hilo wametoa hii leo kwenye mkuutano uliofanyika katika ukumbi wa halimashauri ya wilaya hii pia mkutano huo umeudhuliwa afisa biashara wa wilaya  bwana Edonia Mahenge pia alikuwepo OCD akiwakilisha na Frenk Chimale kwa pamoja wametaka madereva hao kuongeza ushikiano huo pamoja na kufuata sheria za barabarani ikiwemo kuwa na Lesen ya udereva wa vyombo hivyo 
       Baada ya mkutano huo nilizungumza na baadhi ya madereva hao mmoja  wao aliyejitambulisha kwa jina la Part amesema kuwa wameamua kufanya hivyo ilikuweka tashira nzuri kwa jamii ilikutoa imani ya kuwa wao ni wahuni jambo ambalo limekuwa likiwaghalimu na kuperekea kukosa soko kwa wateja wao
   Ikumbukwe kuwa sehemu nyingi tanzania wamekuwa  wakituma usafiri huo maarufu kama bodaboda na yeboyebo 
   

No comments:

Post a Comment