wasanii wa kundi la Bongo Movie wakicheza sanjari na mzee Yusuph
katika uwanja wa samora wakati wa Mapumziko ya mechi ya Ahsante
watanzania kwa kumchangia msanii Sajuki katika mkoa wa Iringa
Mzee Yusuph akipagawisha katika uwanja wa samora sasa
Umati wa mashabiki wakishuhudia show
Ma Dj wa Ebony FM wakiwa kazini katika uwanja wa samora (Picha zote na www.francisgodwin.blogspot.com
Zipo picha nyingi kali kwa ajili yako kuhusu tukio hili, ili kuziona BONYEZA HAPA
No comments:
Post a Comment