Dr Slaa Alipotua Kwenye Msiba Wa Daud Mwangosi Leo Jioni..Dr Slaa Alipotua Kwenye Msiba Wa Daud Mwangosi jana jioni
.
jana jioni tukiwa msibani ( Daud Mwangosi) mara akaingia Dr Wilbroad Slaa wa CHADEMA kuja kutoa pole kwa wafiwa. Kamera yangu haikuwa mbali!
Duuuuuuh inauma
ReplyDelete