Tuesday, March 12, 2013

BARABARA MAKETE YAHALIBIKA VIBAYA

 boda boda nao hali bado ni ngumu
 basi litokalo Makete la kampuni ya Mwafrika likiwa limefika mwisho ikiwa kutokea Makete
 Hiii ndiyo hali halisi ya Makete
 huyu ndio mwalikilishi wa wawa nanchi  wenu mimi simo

Hali imezidi kuwa  mbaya  katika barabani Makete husasani katika barabara ya Ivalalila barabara ielekayo Mbeya hivyo kusababihsa adha kwa wasafiri waendao mkoa jirani wa Mbeya mtandao huu umefika katika eneo hilo na kushuhudia  moja gali ya ya kampuni ya Pepsi likiwa limekwama huku likiwa limeziba njia 

  aidha mpaka sasa gali hilo bado halijatoka sehemu hiyo na gali hilo lianza kupa adha hiyo kuanzia saa sa moja asubuhi na mpaka sasa bado hali si nzuri katika eneo hilo baada ya gali hilo kuziba barabara na kufanya magali mengine yashindwe kupita eneo hilo mtandao huu unawasiliana na meneja wa TANLOARD mkoa ili kujua hali hiyo itaedela mpaka lini lakini mapaka sasa tuna shindwa kumpata kwani simu zake zinaita na bila kupokelewa 

  makete imekuwa ikipata adha ya usafiri husasani nyakati za masika nakufanya wananchi kushindwa kupata huduma za kimsingi ikiwemo kusafirisha mali ghafri nbidhaa mbalimbali

No comments:

Post a Comment