Wednesday, January 2, 2013

SAJUKI AFARIKI DUNIA


zimwi limezidi kuwaadama waigizaji

 
 
 
 
 
 
Msanii Juma Kilowoko (SAJUKI)amefariki dunia leo alfajiri katika hospitali ya Taifa Muhimbili. 

Kwa mujibu wa Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa  anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu

No comments:

Post a Comment