Friday, October 28, 2016

Plujim arejea Yanga tena

Hatimaye Uongozi Wa Yanga Umekataa Maombi Ya Kocha Wa Timu Hiyo Hans Van Plujim Kujihuzuru na Hivyo Amerejea Kuendelea na Kibarua Chake ,  Waziri Wa Mambo Ya Ndani  Mwigulu Nchemba Ni Miongoni Mwa Walio Saidia Kulimaliza  Sakata hilo na Kocha George Lwandamina Atakuwa Mkurugenzi wa Ufundi Klabuni Hapo.

No comments:

Post a Comment