- Tigo ni mtandao wa kwanza Tanzania kuwaleta pamoja watu maarufu katika jamii ili waweze kushirikisha mambo muhimu na washabiki wao yatakayowawezesha kusonga mbele kimaendeleo. Tigo itaendelea kufanya hivi kupitia mitandao ya kijamii hasa twitter. Kufahamu zaidi juu Millard Ayo alichozungumza na washabiki wake, tembelea ukurasa wetu wa Twitter https://twitter.com/Tigo_TZ , utafute tweet za leo zenye #OngeanaTigoCeleb — TWITTER LIVE CHAT NA MILLARD AYO KATIKA PICHA (5 photos) Tigo Tanzania
@Tigo_TZ @REALYUNUS@millardayo Naamini kuna mengi yanakuja tuombe Mungu tu mtu wangu, kuna jingine nitatangaza mwaka huu mwishoni#OngeanaTigoCeleb
@masssiwale Daah, kwanza nimefurahi kujua kuna mtu wangu wa nguvu Zambia, pole boss... inarudi soon, hiyo ni ahadi#OngeanaTigoCeleb
@KhatibuKikuku@millardayo Nilizaliwa Arusha, nimesoma Arusha na Dar es salaam pia mtu wangu, kuna kingine unataka kujua?#OngeanaTigoCeleb
@tigo_tz@millardayo mie jamani i like what your doing and plz kindly askd plz follow me back!#OngeanaTigoCeleb
- ar u in a relationship?
@tigo_tz#ongeanatigoceleb
@HKombe ni uvumilivu na kutotaka mshahara mkubwa baada tu ya kupata kazi, niliambiwa silipwi nikakubali sababu nilitaka CV#OngeanaTigoCeleb
@millardayo tell us your journey to success and the hudles you faced till now#ongeanatigoceleb@tigo_tz
@adenlizb lol, Elizabeth bwana. nimepanga Mungu akijalia baada ya miaka miwili kutoka sasa ndio nitatangaza, unaonaje? lol#OngeanaTigoCeleb
- Dakika chache zijazo
@millardayo atakuwa live kwenye tweeter katika ukurasa wetu. Muulize maswali ukimalizia na@Tigo_Tz#OngeanaTigoCeleb
- "
@Tigo_TZ: Heloo..!! wapendwa tuzungumze jamani mbona mko kimya...??????#OngeanaTigoCeleb@eliasibarnabas" Rekebisheni huduma kwanza! Mxiuuu
- Kama unakerwa unfollow tu usiwapangie masharti lol RT
@Tanganyikan:@Tigo_TZ fanyeni direct reply msitujazie timeline.#ongeanatigoceleb
@Bobdizo aisee wewe ni shabiki katika bora mashabiki asante sana sana broo uko wapi kaka.????#OngeanaTigoCeleb@eliasibarnabas
@Bobdizo aisee wewe ni shabiki katika bora mashabiki asante sana sana broo uko wapi kaka.????#OngeanaTigoCeleb@eliasibarnabas
@mushijcob maisha yangu sio picha kila mtu atazame inatosha kusikia kazi yangu inafanya vizuri.#OngeanaTigoCeleb@eliasibarnabas
- Alafu"
@Tigo_TZ: Ongea na Barnaba katika ukurasa wetu wa Twitter kesho saa 9 alasiri#OngeanaTigoCeleb pic.twitter.com/3g5jjYXPI2 m.twitter. ...
@tigo_tz#OngeanaTigoCeleb ni nani aliyegundua kipaji chake na ilikuwa mwaka gani?
@tigo_tz#OngeanaTigoCeleb je, barnaba anampango wowote wa kufanya colabo na msanii wa kimataifa,ni nani huyo?
@Tigo_TZ hello bado tu hamjaboresha huduma zenu,, maana mna uginjwa wa Network-problems#OngeanaTigoCeleb
@Tigo_TZ hello bado tu hamjaboresha huduma zenu,, maana mna uginjwa wa Network-problems#OngeanaTigoCeleb












No comments:
Post a Comment